
Timu kuondoka kesho kuelekea Afrika Kusini
Kikosi cha wachezaji 23 kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch
Kikosi cha wachezaji 23 kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Zanzibar baada ya mchezo wa jana wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya
Mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar umemalizika
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza
Hakuna lugha rahisi ambayo unaweza kuitumia kuelezea jinsi ambavyo tunahitaji ushindi mnono kwenye mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini
Kikosi kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakaopigwa Jumapili
Klabu yetu imeingia mkataba wa miaka mitano na Kampuni ya Jayrutty Investment Company East African Limited kwa ajili ya kutengeneza, kubuni na kusambaza vifaa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewaomba mashabiki hasa kutoka Visiwani Zanzibar kuhakikisha wanapambana na kuiwezesha timu kutinga fainali ya michuano ya
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup baada ya kuifunga Mbeya City mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex.