
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Fountain Princess
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja Tanzanite Kwaraa kuikabili Fountain Gate Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja Tanzanite Kwaraa kuikabili Fountain Gate Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema licha ya ushindi mnono wa mabao 6-0 tuliopata dhidi ya Kilimanjaro Wonders katika mchezo wa hatua ya 64 ya
Tumefanikiwa kutinga hatua ya 32 bora ya CRDB Federation Cup kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Kilimanjaro
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Kilimanjaro Wonders kwenye mchezo wa hatua ya 64 ya CRDB Federation
Licha ya wapinzani wetu katika hatua 64 bora ya CRDB Federation Cup Kilimanjaro Wonders kuwa timu ya daraja la chini lakini hatutaidharau badala yake
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Bonanza, Mbunge wa Makete, Festo Sanga amesema Bonanza la mwaka huu litafanyika Februari Mosi na kama kawaida litashirikisha mashabiki
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 11-0 dhidi ya Mlandizi Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa Uwanja wa
Simba Queens leo saa nane mchana kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Mlandizi Queens katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imetoa ratiba ya mechi za Ligi Kuu ya NBC ambayo itaendelea mapema mwezi ujao. Awali TPLB ilisitisha Ligi Kuu
Kiungo mshambuliaji Kibu Denis amesema kinachomfanya kuwa bora kila siku ni kufanya mazoezi kwa juhudi, kujituma pamoja na kutambua anachotakiwa kufanya. Kibu amesema mchezo