Mh. Zungu ni mwanachama wetu na amekuwa akishiriki matukio mbalimbali ya klabu kama mikutano kila anapopata nafasi.
Mh. Zungu amechaguliwa leo kuwa Naibu Spika akijaza nafasi iliyoachwa na Dk. Tulia Akson ambaye amekuwa Spika na atatuongoza Wanasimba Jumapili dhidi ya ASEC uwanjani.