Simba Sports Club
News

Zungu mgeni rasmi mechi dhidi ya ASEC

11 Feb 2022

Mh. Zungu ni mwanachama wetu na amekuwa akishiriki matukio mbalimbali ya klabu kama mikutano kila anapopata nafasi.

Mh. Zungu amechaguliwa leo kuwa Naibu Spika akijaza nafasi iliyoachwa na Dk. Tulia Akson ambaye amekuwa Spika na atatuongoza Wanasimba Jumapili dhidi ya ASEC uwanjani.

Advertisement
Back to homepage
Share this story