Simba Sports Club
News Videos

Waziri wa Biashara Zanzibar akabidhiwa jezi ya Mnyama

4 Jan 2024

Huu ni muendelezo wa kutangaza Utalii wa Zanzibar kupitia michuano ya Mapinduzi ambapo Kitengo cha Habari kimepanga kutembelea sehemu mbalimbali pamoja na kukutana na viongozi ili kutimiza azma tuliyojiwekea.

Advertisement
Back to homepage
Share this story