Simba Sports Club
News

Watatu waitwa Stars kujiandaa na Uganda

13 Mar 2023

Wachezaji walioitwa ni walinda mlango, Aishi Manula na Beno Kakolanya pamoja na kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin.

Baada ya mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya utakaopigwa Jumamosi nyota hao wataruhisiwa kwenda kujiunga na Taifa Stars.

Advertisement

Mechi hizo mbili za nyumbani na ugenini zitapigwa ndani ya mwezi huu ambapo ya kwanza itakuwa Machi 24 na ile ya marudiano itakuwa Machi 28.

Back to homepage
Share this story