Simba Sports Club
News

Watatu waing'arisha Stars Ndola

12 Jun 2024

Mlinda mlango Ally Salim na mlinzi wa kushoto Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr' wao wamecheza dakika zote 90.

Ally alikuwa muhimili katika kikosi cha Stars huku akiokoa baadhi ya michomo ambayo ilikuwa inaelekea wavuni.

Advertisement

Winga Edwin Balua yeye aliingia akitokea benchi dakika ya 56 na kuipa tabu safi ya ulinzi ya Zambia akitokea upande wa kulia.

Back to homepage
Share this story