Simba Sports Club
News

Wanne waitwa Taifa Stars

30 Aug 2023

Taifa Stars itacheza na Algeria ugenini Septemba 7, katika mchezo huo muhimu ambao tunahitaji tupate alama.

Nyota hao ni mlinzi wa kati, Kennedy Juma kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin na washambuliaji John Bocco na Kibu Denis.

Advertisement

Nyota hao tayari wameruhusiwa kwenda kujiunga na kambi ya Stars tayari kuendelea na maandalizi ya mchezo huo.

Back to homepage
Share this story