Zoezi hilo limeanza saa 10 jioni na linakadiriwa kuchukua saa mbili kutoka sasa kutokana na wingi wa wanachama waliojitokeza.
Baada ya kukamilika kwa zoezi la kupiga kura kutafuatia uhesabiaji na kabla ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi kutangaza matokeo.