Simba Sports Club
News

Viingilio Ngao ya Jamii vyatangazwa

10 Aug 2022

Mchezo huo ambao utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utaanza saa moja usiku badala ya saa 11 jioni kama ilivyozoeleka.

Mchezo huo ni wa kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya NBC 2022/23 ambayo itaanza rasmi Agosti 17.

Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo;

VIP A Sh. 30,000

Advertisement

VIP B Sh. 20,000

VIP C Sh. 15,000

Viti vya machungwa Sh. 7,000

Viti vya kijani Sh. 5,000

Back to homepage
Share this story