Mchezo huo ambao utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utaanza saa moja usiku badala ya saa 11 jioni kama ilivyozoeleka.
Mchezo huo ni wa kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya NBC 2022/23 ambayo itaanza rasmi Agosti 17.
Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo;
VIP A Sh. 30,000
Advertisement
VIP B Sh. 20,000
VIP C Sh. 15,000
Viti vya machungwa Sh. 7,000
Viti vya kijani Sh. 5,000