Maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri ambapo viingilio hivyo ni kama ifuatavyo;
Mzunguko Sh 5,000
VIP B na C Sh 20,000
Advertisement
VIP A Sh 40,000
Tiketi tayari zimeanza kuuzwa leo kupitia mitandao ya simu na Jumatano tutatangaza vituo ambavyo tiketi zitapatikana.