Zimbwe Jr amesema baada ya kufanikisha malengo ya kutinga robo fainali kilicho mbele yetu ni kushinda dhidi ya Constantine ili kuongoza kundi na mashabiki wote wana jukumu la kufanikisha hilo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Zimbwe Jr ameweka wazi kuwa wachezaji wapo tayari kupambana kuiona timu ikifika Fainali ya michuano hiyo.