Mashaka kama ilivyokuwa kwa wachezaji wengi alikuwa na ndoto ya kucheza timu yetu na alipoambiwa tunamuhitaji usiku wake hakulala kwa furaha.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Mashaka azungumzia pia kuhusu kambi ya timu inayoendelea nchini Misri.
Mashaka kama ilivyokuwa kwa wachezaji wengi alikuwa na ndoto ya kucheza timu yetu na alipoambiwa tunamuhitaji usiku wake hakulala kwa furaha.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Mashaka azungumzia pia kuhusu kambi ya timu inayoendelea nchini Misri.