Ahmed amesema Uongozi ulifungua mazungumzo wakati timu ikiwa Zanzibar lakini hayakuweza kuletea muafaka na hata timu ilivyorejea Dar es Salaam bado haikuwa rahisi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kitu kilichokuwa kinachelewesha dili hilo.