Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Tutacheza mechi ya kirafiki dhidi ya JKT Tanzania

5 Sep 2024

Ahmed amesema mchezo huo hautakuwa na mashabiki kutokana na mechi za timu za Taifa kuwa zinachezwa katika kipindi hicho hivyo CAF imepiga marufuku klabu kucheza mechi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia tarehe ya timu kusafiri kuelekea Libya kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahly Tripoli.

Advertisement
Back to homepage
Share this story