Violeth amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri na wanafahamu utakuwa mchezo mgumu lakini wapo tayari kuipigania timu na kutinga fainali.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Violeth amezungumzia kuhusu Kinachoendelea vichwani mwao kuelekea michuano hii.