Ahmed amesema Simba imefanya mambo makubwa Afrika kama kuzifunga timu vigogo lakini bado hatujawahi kushinda taji na baada ya kupita miaka 32 tumepata nafasi ya kuhakikisha tunashinda.
Tazama mahojiano hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia maandalizi ya mchezo na hali ya wachezaji kuelekea mtanange huo.