Huu ni utaratibu tuliyojiwekea pamoja na Mo Dewji Foundation kila tunapoelekea kwenye michezo ya Kimataifa huwa tunatoa misaada kwa wenye uhitaji ikiwa ni sehemu ya kurejesha kwa jamii hasa kwa watu wenye uhitaji.
Tazama video hii hadi mwisho tumekuwekea tukio zima la utoaji wa msaada huo kutoka kwenye Kituo cha Assalam kilichopo Fuoni Zanzibar.