Ahmed amesema tumefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora na malengo yetu ni kuvuka hadi fainali hatimaye kutwaa ubingwa na hilo ndilo jambo ambalo tunalifanya.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu mechi yetu inayofuata dhidi ya Dodoma Jiji.