Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Tumecheza kwa hesabu kubwa

26 Oct 2025

Ahmed amesema pamoja na kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Nsingizini Hotspurs lakini tumetimiza lengo letu la kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia mchezo mzima ulivyokuwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story