Kocha Fadlu amewamwangia sifa wachezaji kwa kufuata maelekezo aliyokuwa akiwapa na kupelekea kupatikana kwa ushindi huo mnono
Tazama mahojiano haya hadi mwisho hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia kiwango cha mlinzi wa kulia Shomari Kapombe ambaye amerejrshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars.