Simba Sports Club
News

VIDEO: Try Again asema kikosi tulichonacho kitatufikisha nchi ya ahadi

28 Aug 2023

Try Again amesema tumesajili wachezaji bora ambao walikuwa wanafanya vizuri kwenye timu walizotoka huku wengine wakiwa (MVP) sababu malengo yetu ni kuhakikisha tunafika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na kuchukua mataji yote ya ndani.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya maalum ili kufahamu mipango ya klabu katika msimu huu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story