Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Timu kurejea mazoezini Machi 27

25 Mar 2026

Ahmed amesema baada ya mchezo uliopita dhidi ya TRA United wachezaji walipewa mapumziko ya siku chache kupisha mashindano ya FIFA Series kwa timu za Taifa inayofanyika nchini Rwanda.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens.

Advertisement
Back to homepage
Share this story