Meneja Habari na Mawasiliano Ahmed Ally amesema tutaondoka na kikosi kamili kuelekea Zanzibar wachezaji watakao kosekana ni wale waliopo kwenye majukumu ya timu za Taifa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu mipango ya timu kuelekea nusu ya kukamilisha msimu wa 2023/24.