Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Timu kuingia kambini kesho

27 Aug 2024

Ahmed amesema tayari wapinzani Al Hilal wameshatua nchini leo na msafara wa watu 34 kwa ajili ya mtanange huo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia mchezo mwingine wa kirafiki utakaopigwa Septemba 7.

Advertisement
Back to homepage
Share this story