Ahmed amesema tayari wapinzani Al Hilal wameshatua nchini leo na msafara wa watu 34 kwa ajili ya mtanange huo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia mchezo mwingine wa kirafiki utakaopigwa Septemba 7.
Ahmed amesema tayari wapinzani Al Hilal wameshatua nchini leo na msafara wa watu 34 kwa ajili ya mtanange huo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia mchezo mwingine wa kirafiki utakaopigwa Septemba 7.