Ahmed amesema kambi hiyo ya Zanzibar itahusisha wachezaji ambao hawakuitwa kwenye timu zao Taifa ambao ni wengi ili kumpa nafasi kocha kufanya maandalizi ya kutosha kutokana na ukubwa wa mechi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ataja sababu ya timu kwenda kuweka kambi Zanzibar.