Ahmed amesema ni kawaida kwakwe kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwakuwa ni mara nne mfululizo hivyo sio kitu kipya kama wengine ambao hawajazoea.
Tazama Mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kiufundi kuhusu mchezo ulivyokuwa.