Kocha Mkuu Pablo Franco ameendelea na kazi yake ya kukinoa kikosi chetu huku wakati mwingi akiutumia kuwasisitiza wachezaji kutoa pasi kwa haraka.
Pablo amekuwa akiwaelekeza wachezaji kufanya maamuzi ya haraka na kutokaa na mpira katika mazoezi hayo yaliyofanyika katika Uwanja wa Boko Veterans.