Simba Sports Club
News

VIDEO: Tazama jinsi Kitengo chetu cha Habari kilivyotayari kwa Usajili wa 2023/24

4 Jul 2023

Tayari Kitengo cha Habari na Mawasiliano chini ya Ahmed Ally wamepokea mafaili ya wachezaji ambao tumefanikiwa kuwasajili kwa ajili ya kuwatambulisha kwa Wanasimba siku chache zijazo.

Weka bundle, chaji simu, tulia sebuleni kwako kula popcorn subiria habari njema za furaha

Advertisement
Back to homepage
Share this story