Mtendaji Mkuu, Imani Kajula ndiye aliyemtambulisha Balozi Concar kwa benchi la ufundi pamoja na wachezaji ambao wamefurahia kuja kwake.
Tazama Video hii hadi mwisho kuona jinsi ilivyokuwa, hata Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah 'Try Again' nae alikuwepo.