Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Simba Queens yakabidhiwa milioni 10 za Bao la Mama

12 Sep 2024

Msigwa ameitaka Queens kutokata tamaa kutokana na kushindwa kufikia malengo kutwaa ubingwa huku akiweka wazi kuwa sisi ndio timu bora nchini.

Awali wakati akimkaribisha kiongozi huyo, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Bi Asha Baraka amesema Queens haitakata tamaa bali imejipanga kutetea ubingwa wetu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story