Msigwa ameitaka Queens kutokata tamaa kutokana na kushindwa kufikia malengo kutwaa ubingwa huku akiweka wazi kuwa sisi ndio timu bora nchini.
Awali wakati akimkaribisha kiongozi huyo, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Bi Asha Baraka amesema Queens haitakata tamaa bali imejipanga kutetea ubingwa wetu.