Simba Sports Club
News

VIDEO: Semaji la CAF asema Dodoma Jiji walikuwa na bahati leo

20 Aug 2023

Ahmed ametaja nafasi zilizokoswa na Moses Phiri, Luis Miquissone na Shomari Kapombe ambazo kama wangetulia zote zilikuwa mabao.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kufahamu furaha ya Wanasimba baada ya kuona 'Jenerali' Moses Phiri akitupia muda mfupi baada ya kuingia.

Advertisement
Back to homepage
Share this story