Ahmed amesema tulicheza mechi ya mwisho Machi 14 hivyo tulihitaji kuwarejesha wachezaji wetu katika hali nzuri ya kujiamini hivyo tumetimiza malengo ya kutinga robo fainali na kuwapa wachezaji mechi ya ushindani.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia safari ya timu kuelekea kesho Alfajiri.