Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Sare dhidi ya KMC imetuumiza

23 Dec 2023

Ahmed amesema timu inayopigania ubingwa lazima iwe na muendelezo wa kupata matokeo ya ushindi kitu ambacho sisi tunakosa kwakuwa tunacheza mechi moja vizuri nyingine tunaboronga.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia kinachotakiwa kufanyika ili kulimaliza jambo hili.

Advertisement
Back to homepage
Share this story