De Reuck amesema Kocha Fadlu Davids ana mchango mkubwa kwa yeye kujiunga nasi huku akifurahia mapokezi makubwa aliyopata kutoka kwa mashabiki pamoja na wachezaji wenzake.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho De Reuck amefunguka mengi kama kuwahi kucheza golikipa baadae mshambuliaji kabla yakuwa mlinzi wa kati.