Simba Sports Club
News

VIDEO: Robertinho/Saido wafunguka kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Raja

30 Mar 2023

Robertinho amesema malengo yetu ni kuhakikisha tunacheza vizuri na kupata ushindi.

Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza amesema mchezo hautakuwa na presha kwakuwa wote tumefuzu lakini tunahitaji kupata ushindi.

Advertisement

Tazama hadi mwisho ili uone walichosema wawili hao katika Mkutano wa Waandishi wa Habari.

Back to homepage
Share this story