Simba Sports Club
News

VIDEO: Robertinho azungumzia hali ya Kikosi baada ya sare dhidi ya Zira

24 Jul 2023

Robertinho amesema wiki ya kwanza ya mazoezi tuliitumia kuweka sawa miili ya wachezaji wakati ya pili ilikuwa ni kuwafundisha mbinu na mifumo kitu ambacho wachezaji wamekifanya vizuri.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kufahamu alichosema kuhusu hali ya kikosi tangu tulivyoanza mazoezi hadi sasa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story