Robertinho amesema tulicheza kwa mipango tuliyojiwekea tunaposhambulia na tukipoteza mpira.
Robertinho pia amewapongeza wapinzani wetu Wydad kwa kucheza vizuri kwenye kuzuia hasa wakijua wapo ugenini.
Robertinho amesema tulicheza kwa mipango tuliyojiwekea tunaposhambulia na tukipoteza mpira.
Robertinho pia amewapongeza wapinzani wetu Wydad kwa kucheza vizuri kwenye kuzuia hasa wakijua wapo ugenini.