Robertinho amesema amependeza jitihada anazofanya Kibu mazoezini na utaratibu wake ni kutoa zawadi kwa wachezaji wake ili iwe kama motisha na mshikamano baina ya wachezaji.
Tazama video uone Robertinho akifunguka mengi katika mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally.