Ahmed amesema uwekezaji tuliofanya na aina ya kikosi tulichonacho tuna kila sababu ya kuibuka mabingwa wa michuano hiyo licha ya timu nyingine kujiandaa vizuri.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia ubora wa kocha wetu mkuu, Juma Mgunda.