Phiri amesema anafahamu mashabiki wetu wanampenda sana na yeye anawependa pia hivyo kwa kushirikiana na wachezaji wenzake atahahakikisha wanawapa furaha.
Phiri amefunguka mengi akiweka wazi kuwa bado yupo sana ndani ya kikosi tazama mahojiano haya mpaka mwisho kujionea kila kitu.