LOnana amesema pamoja na ugumu na ukubwa wa Al Ahly bado tuna nafasi ya kufanya vizuri hasa tukitumia zaidi mchezo wa nyumbani.
Tazama video hii hadi mwisho Onana amezungumzia pia kuhusu mechi za nyuma huku akiikumbuka zaidi ile dhidi ya ASEC Mimosas.