Okajepha amesema mashabiki wetu wamempokea kwa mapenzi makubwa na yeye atawalipa kwa kuhakikisha anajituma kama ilivyokuwa akiwa Rivers United.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Okajepha amezungumzia mipango yake kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25.