Ngoma amesema uwepo wa mashabiki uwanjani unaongeza hamasa kwa wachezaji kitu ambacho hakikuwepo lakini jambo jema ni kuwa tumefanikiwa kutinga robo fainali na kuongoza kundi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ngoma amewashukuru mashabiki kwa sapoti kubwa wanayotoa kwa timu.