Simba Sports Club
News

VIDEO: Nangu ataja sababu ya kushangilia kuifunga JKT

8 Nov 2025

Nangu amesema hakupanga kushangilia alipoifunga timu yake hiyo ya zamani lakini ilitokea akashindwa kujizuia kutokana na umuhimu wa bao lenyewe.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Nangu amezungumzia mchezo mzima ulivyokuwa huku akilitoa bao hilo kama zawadi kwa mama.

Advertisement
Back to homepage
Share this story