Nangu amesema baada ya kupewa taarifa kuwa ataanza kikosi cha kwanza katika mchezo dhidi ya Nsingizini Hotspurs alipata hofu kidogo ingawa alijipa matumaini na kufuata kila alichoelekezwa na Meneja, Dimitar Pantev.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Nangu amezungumzia pia jinsi alivyofunga bao hilo.