Naby amesema ni furaha kufunga bao ambalo limeiwezesha timu kutinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Naby amezungumzia pia mchezo wa nusu fainali dhidi ya Azam FC utakaopigwa Alhamisi Januari, 8.
Naby amesema ni furaha kufunga bao ambalo limeiwezesha timu kutinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Naby amezungumzia pia mchezo wa nusu fainali dhidi ya Azam FC utakaopigwa Alhamisi Januari, 8.