Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mzee Dalali afunguka kazi ya Baraza la Washauri

21 Dec 2023

Mzee Dalali amesema Baraza lao ambalo linaundwa na viongozi mbalimbali wa klabu halina mamlaka ya kubadili maamuzi yoyote zaidi ya kushauri.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya uone jinsi ilivyokuwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story