kuelekea mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry utakaopigwa Jumatano Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mzee Azim amesema anaamini wingi wa mashabiki ambao watajitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utakuwa chachu ya ushindi kwa asilimia 50 kabla ya timu kushuka dimbani.
Advertisement
Tazama video hii hadi mwisho Mzee Azim amefunguka mengi kuhusu mchezo dhidi ya Al Masry.