Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mzee Azim awaita mashabiki kwa Mkapa kuweka historia

7 Apr 2025

kuelekea mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry utakaopigwa Jumatano Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mzee Azim amesema anaamini wingi wa mashabiki ambao watajitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utakuwa chachu ya ushindi kwa asilimia 50 kabla ya timu kushuka dimbani.

Advertisement

Tazama video hii hadi mwisho Mzee Azim amefunguka mengi kuhusu mchezo dhidi ya Al Masry.

Back to homepage
Share this story