Mh. Johari amesema Dkt. Samia ni mdau mkubwa wa michezo na mara zote amekuwa akitamani kuona timu za Tanzania zikifanya vizuri kwenye michuano ya Kimataifa na ndio maana amekuwa akitoa hela kwa ajili ya hamasa.
Tazama video hii hadi mwisho nahodha wa timu Zimbwe Jr amemshukuru Dkt. Samia kwa niaba ya wachezaji.