Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mwana FA ataja kilichosababisha timu kutinga fainali Afrika

28 Apr 2025

Mh. Mwana FA amesema Watanzania kutokana maeneo mbalimbali nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuisapoti timu na hicho kiliwafanya wachezaji kujihisi wapo nyumbani na kupambana hadi dakika ya mwisho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story